Home
-
RealBiz Co LTDTunauza viwanja vilivyopimwa mkoani Dar es salaam, Tanga,
na Morogoro. -
Miradi YetuPeruzi miradi yetu iliyopo Morogoro, Dar es salaam na Tanga
Kutafuta Kiwanja Sasa
Au
Wasiliana na mtoa huduma wetu kwa maelezo zaidi

Defined By Service and Expertise
RealBiz ni kampuni inayojihusisha na uuzaji wa viwanja. RealBiz ilianzishwa mwaka 2022, kwa lengo la kuwasaidia watanzania wenye kipato cha chini kuweza kumiliki kiwanja. Malipo yake yanafanyika kidogo kidogo,mteja anaweza kulipia mpaka kwa miaka miwili. Kumiliki ardhi yako ni maendeleo yako ya kesho. Ardhi ni aseti isiyokufa wala kuharibika,itakusaidia katika Nyanja tofauti za maendeleo.
Miradi Yetu
Baadhi ya miradi yetu

PONGWE MARANZARA RESIDENCE BLOCK C
Tanga Cbd, Tanga, Tanzania Tanga Cbd, Tanga
From 2,470,000 to 28,710,000 TZS

PONGWE MARANZARA RESIDENCE BLOCK K
Tanga Cbd, Tanga, Tanzania Tanga Cbd, Tanga
From 2,375,000 to 20,916,000 TZS

PONGWE MIJOHORONI-MIZANI PROJECT BLOCK E
Tanga Cbd, Tanga, Tanzania Tanga Cbd, Tanga
From 2,430,000 to 13,233,000 TZS

PONGWE MIJOHORONI-MIZANI PROJECT BLOCK M
Tanga Cbd, Tanga, Tanzania Tanga Cbd, Tanga
From 1,966,500 to 7,280,000 TZS